Zoom Logo

Vipimo vya COVID-19 na Elimu ya Sayansi Tanzania - Shared screen with speaker view
Edwin Paul
40:12
Hi Buddies
Christian Bwaya
40:39
Hi every one. Christian from Moshi, Tanzania
Rukia Said
40:46
hi
Clifford Tarimo
41:03
Hello!
Hussein Juma
41:51
Jamani, sikupata video ya kikao cha wiki jana
Asha nyanganyi
44:45
https://bit.ly/2WiKnZ2 Link ya mazungumzo ya last week
Asha nyanganyi
45:03
Hussein that is the link
Rukia Said
47:33
how can i record this meeting??
DICOTA USA
48:50
the meetings is being recorded. we will email the full audio recording a few hours after the meeting concludes.
DICOTA USA
49:40
Rukia Said ☝🏾
Rukia Said
49:55
thanks
David Lyandala
55:27
Sorry siwasikii sijui tatizoo ni nini
Asha nyanganyi
56:33
David - join with audio
David Lyandala
57:26
thank you
mlaluko rajabu
59:20
napata uelewa mzuri
Asia Rubeba
01:07:07
Ufafanuzi ni mzuri japo ningetamani pia mtaalam wetu aitolee maelezo aina ya pili ya test.
Lunda Asmani
01:07:53
please start posting your questions here. we will ask them once the speakers are done. karinuni sana
Johnson Allen
01:09:27
asanteh
Prof. Primus Mtenga
01:11:47
Kabla ya application unatakiwa kuanzia na kiasi gani ya hizo pathogens?
Dan Nkurlu
01:12:02
Je kama Taifa uwezo wa kufanya testing iwe random au mandatory iko kwa kiasi gani?je kila afikaye hospitali regardless of ugonjwa anaweza kupimwa Covid19?
Prof. Primus Mtenga
01:12:17
application = amplification
Daniel Maeda
01:14:45
The concentration of DNA template depends on the source. Normally used concentration are 100-250 ng for mammalian genomic DNA and 20 ng for linearized plasmid DNA (circular plasmid DNA is slightly less efficiently amplified) per 50µl reaction.
Asia Rubeba
01:15:31
Je kuna ugumu gani wa kuwa na vipimo hivyo katika hospital zetu zote za kanda na hata wilaya?
Daniel Maeda
01:16:38
yategemeana na uwezo wenu wa Kifedha.
Asha nyanganyi
01:16:49
they are very expensive
Asia Rubeba
01:17:42
Tunaweza kujua gharama zake ili hata inapotokea watu wanauliza basi tunakuwa mabalozi wazuri.
Daniel Maeda
01:17:58
$90,000
Asia Rubeba
01:18:13
aiseee!
Prof. Primus Mtenga
01:18:44
Kuhusu papai kuwa COVID-19 positive. je kunauwezekano wa popo anapotafuta chakula akifyonza kwenye papai lililoiva ahaacha mate yake yenye huyo virus, na baadaye Dkt. Magufuli akipima hilo papai akakuta COVID-19 positive.?
Daniel Maeda
01:18:54
wakati ufatani kwetu tunanunua miaka iliyopita bei ilikuwa hiyo $90,000
Mariam Hamad
01:20:36
heheh
Daniel Maeda
01:21:03
wapo popo wala matunda kwahiyo hilo ni uwezekano mmojawapo. Tukumbuke Kirusi cha SARS-CoV-2 kinaweza kukaa kwenye surfaces kwa muda mrefu. Kwahiyo hata kama papai limedondokewa na Kirusi utalikuta
Dominick Msolo
01:22:17
Asante kwa ufafanuzi Dr. Maeda
Misago Seth
01:23:04
To Prod. Mtenga: Yes, na hiyo itaitwa contamination rather than infection. Na contamination inaweza kutokea pia wakati wa kuchukua hiyo sample ya papai Kama mchukuaji akiwa source of infection or contamination. Contamination inaweza pia kutokea katika hatua zitakazofuata wakati wa handling ya sampuli hiyo mfano wakati wa usafirishaji, upokeaji, wakati wa RNA extraction. na hata wakati wa template addition. possibilities are numerous.
Prof. Primus Mtenga
01:24:08
kama tuna uwezo wa kunijulia mawaziri V8-Landcruizers $100K, kwa nini tushindwe kununua machine kwa hosipitali zote kubwa kwa $90K. issue hapa ni priority zetu ziko wapi.
Prisca Ruphene
01:24:09
Mmmh! hatr sana
Misago Seth
01:25:15
Correct, prioritization ndiyo issue kubwa hapa
Nuru Leah
01:25:21
check the cut off points
Dan Nkurlu
01:25:34
valid point Dr. Mtenga
Asia Rubeba
01:26:25
Iwapo kinachopimwa ni damu au mate. Najiuliza kuwa hakuna tofauti kati ya mate na ute wa papai? iweje bado majibu yawe positive au negative?
Dr Faith Mmanywa
01:28:43
what they are looking for in mate or blood is to isolate RNA of the virus
Rehema Jema
01:29:16
Na vipi oil chafu inapimwaje na kukutwa na kirusi naomba ufafanuzi kuhusu ilo
Dr Faith Mmanywa
01:29:26
it important to establish and determine the false positive rate of the assay
Mkunde Chachage
01:33:49
Machine za kupimia virus via ugonjwa wa korona vinapatikana katika hospitali zote za kanda pamoja na maabara nyingi za utafiti. Na ndio hizo hizo zinazotumika kupimia virusi vya UKIMWI (VVU). Hizo ndio zenye bei karibia na iliyotajwa na Dr. Maeda. Bei ya vitendanishi/vipimo vya kupimia virusi via korona ni >$200 kwa kipimo
Asia Rubeba
01:35:19
hahah daktari,,spare parts tena!
mlaluko rajabu
01:36:29
nimependa sana maelezo Dr.Maeda
Asha nyanganyi
01:37:10
Asia. kinachopimwa ni vinasaba vilivyokuwa isolated and purified from Damu, mate or anything
Anneth Tumbo
01:37:55
How can stem cells be used in the treatment of COVID-19?
Asia Rubeba
01:38:00
asante Asha.
Asha nyanganyi
01:39:43
DNA has the first step - to isolate and purify vinasaba from samples. Then the purified vinasaba ndivyo vinakutanishwa reagents (primers, Probe with specific information za target) so if you have the right vinasaba will match with primers / probe na kuwa amplified for detection
Deogracious Massawe
01:45:43
Illumina sequencing (MiSeq/HiSeq/Novaseq) kwa sampuli moja inaweza gharima $700 kwenye maabara za kibiashara
Dan Nkurlu
01:48:46
Duh hili jibu
Wilson Kaseha
01:49:19
jibu sfi sn
David Lyandala
01:49:19
umeeleweka vizuri sanaaa Dr Maeda
Asha nyanganyi
01:49:34
Kabisa
Clifford Tarimo
01:50:08
sample ya papai ilichukuliwa from inside na sio surface!
Asha nyanganyi
01:50:10
in PCR world samples could be a swab from anything
baraka daudi
01:50:10
Very Informative topic-Dr. Maeda.
Lucy Abraham
01:50:18
Good answer.
Asha nyanganyi
01:50:31
👍🏽
Daniel Maeda
01:52:23
kwa sasa hakuna dawa inayotokana na seli shina bali seli shina zaweza kutumika kutengeneza seli za mapafu ili kuona mwenendo wake wa uambukizaji na kupata njia za kumdhibiti.
Lusajo Mwaisaka
01:52:33
Daniel… those sleepless nights at Mabibo while we were out partying sure wasn’t for nothing. Thank you for the presentation, very informative.
Christian Bwaya
01:52:59
Maeda Maelezo yako rahisi kueleweka. Very informative. Asante sana mzee
Daniel Maeda
01:53:20
yaani Lusajo nakumbuka mlivyokuwa mnanicheka huku mkienda bilicanas
mlaluko rajabu
01:53:46
MAEDA umeeleweka vyema zaidi
DEOGRATIUS MALLY
01:54:05
Tumeona watalaamu wa chuo kikuu cha makerere wakijaribu kutengeneza "rapid test" kwa ajili ya COVID-19.
Wilson Kaseha
01:54:06
sure
Lusajo Mwaisaka
01:55:02
Hahaha na Course yenu yenye watu 20 Daniel 🤣🤣🤣. Thank you aisee… For leo.
DEOGRATIUS MALLY
01:55:49
Dr.Maeda vipi kwa nchi yetu tumefanya nini hadi sasa kwa Tanzania katika kutengeneza test kama ilivyo chuo cha makerere?
Clifford Tarimo
01:56:08
how far can we trust rapid tests for covid-19?
Daniel Maeda
01:58:00
rapid tests are not yet validated and approved.
David Lyandala
01:59:14
Calibration ya PCR hufanyika kila baada ya ku-run sample ngapi
Daniel Maeda
01:59:30
Dk. Mahadhy na mimi tumeandaa proposal ya kutengeneza biosensor kwa ajili ya COVID-19, tunasubiri majibu ya wenye mamlaka
Asia Rubeba
02:00:18
Hongereni sana kwa utaalam wenu huo @Maeda.
Vincent Rwehumbiza
02:00:27
Hii mada ni ya nguvu sana. Hongereni sana kwa kweli!
Daniel Maeda
02:00:40
panya wa SUA
Tecla Temu
02:01:30
Hongereni Sana Wote specifically madada zangu wa Kifungilo Secondary School mnaturepresent vizuri sana sisi wanawake kwenye science….
Anna Janice
02:01:32
best wishes to you Dr. Maeda and Dr. Mahadhy- congrats
Daniel Maeda
02:02:54
hata hao panya wanalima na positive control na negative control
Dunstan Bishanga
02:06:58
YES. Hizo mashine zinaweza zikipata right kit
regina fredy
02:07:36
Ni kweli Gene expert tunazitumia kwenye hosp zetu za wilaya,
Dunstan Bishanga
02:08:05
Na wizara imekuwa kwenye process ya kuwezesha maabara kama 9 nchini kwa ajili ya kuweza kutest SARS CoV2
Asha nyanganyi
02:08:32
👍🏽
Deogracious Massawe
02:09:06
TB diagnosis kwa kutumia hero rats SUA-APOPO project https://www.youtube.com/watch?v=HtrRtfmN_T8
Pius JOSEPH
02:09:13
NADHANI tuweke Sawa. Mamlaka za Tanzania Hazijakataa Umuhimu wa Kupima.Kuna-MisInforming inafanyika against Tanzania
Mkunde Chachage
02:11:01
Tunaweza kupima kwa kutumia xpert machines — tena ni rahisi kutumia na ni bei nafuu kuliko kutumia machine tunazozitumia sasa.
Asia Rubeba
02:11:03
Hadi sasa naweza kusema kama nchi tumeamua kufuata herd immunization, je ni kwa kiwango gani hospital zetu zimejipanga hasa pale itakapoonekana kuwa na wagonjwa wengi kwa wakati? pili kumekuwa na changamoto za watu wengi kwenda hospital kupima zaidi sana wanaume na hasa tukiangalia kila taarifa ya masaa 24 inayotolewa inaonekana wanaume ni wengi kuliko wanawake?
Dan Nkurlu
02:11:12
political Will is what is in question...
Dan Nkurlu
02:11:38
Shukrani kwa wachangiaji wote
Doris Avati
02:13:20
nimeipenda sana hiyo swedish personal space
regina fredy
02:13:59
Sweden wapo vizuri....sisi wakarimu mno,haswa wakwe zangu wasukuma
Lucy Abraham
02:14:06
Mtanzania huwezi mnyima msongamano 😂
Daniel Maeda
02:14:17
most continental western/northern/central Europe wanapenda Sana personal space
Eric van Praag
02:14:34
Zanzibar is moving forward with GenXpert and trying to solve the software and reagens issues, it is possible. Mainland is another story, still awaiting the Paapaaya repoer
Eric van Praag
02:14:38
eric
David Lyandala
02:15:03
mtanzania yupo tayari kumpakata mtu asiyemjua kwenye daradaraa ili tuu kumfanikisha safari yake
Asia Rubeba
02:15:23
kwetu Africa bado hii practice ya personal spacing inaweza kuwa ngumu. Kupeana mikono tu imekuwa shida sembuse hiyo?
Asia Rubeba
02:15:35
hahahahah @Lyandala
Daniel Maeda
02:16:34
Sweden na lile baridi unatoka kufanya nini?
Ezekiel Mpinga
02:16:37
Mtanzania huwezi mnyima msongamano,mana kufanya hivyo ni kumlaza kibaka njaa
Mkunde Chachage
02:16:39
Dr. Grace na wataalam wengine wa afya ya jamii: nini kifanyike ili kuzuia vifo vinavyoendelea kutokea kutokana na unyanyapaa unaoendelea mahospitalini wa wagonjwa wenye chronic illnesses wanaohisiwa kwa na COVID-19? Pia, tufanye nini ili kuzuia kurudisha nyuma hatua tulizopiga katika kupunguza changamoto za magonjwa ya HIV, TB na malaria katika kipindi hiki ambazo zinabashiriwa?
Asia Rubeba
02:17:57
Ongeza pia Ugonjwa wa ini @Chachage
Anna Janice
02:18:26
given the recent pandemics that have happened over time especially with COVID 19- what are some precautions that you can suggest/ recommend. For our beloved TZ what can they do interns of task force etc.
Florence Temu
02:18:33
Hongereni vijana, please bring those revolutionary, modern, practical & scientific capabilities into our health system architecture! ..tunawahitaji..
Asia Rubeba
02:19:00
sure tunawahitaji sana@Temu
Anna Janice
02:19:31
in terms*
David Lyandala
02:21:16
Ninahitaji kujua uhusiano wa SARS-COV2 na blood clotting (thrombosis) kwa yeyote anayejua
Prof. Primus Mtenga
02:21:22
PCB kwenye kilimo na related SUA
Beuno Mmbando
02:21:37
Katika mazingira ya kuishi na virusi, lockdown inasaidia kukifahamu kirusi, kufahamu njia sahihi za kuimarisha mapambano dhidi yake. Hii sio kuahirisha vifo, bali itawezesha sasa kupinguza vifo.
Dan Nkurlu
02:22:22
so tumekuwa na false narratives kuwaiga Sweden huku tukipuuzia cultural aspect za jamii. I have learn it is easy to administer Herd Immunity in Sweden kutokana na 1. Culture ya respect personal space, 2. trust kutoka Serikali kuwa wananchi will do the right things bila kulazimishwa.
Prof. Primus Mtenga
02:23:13
PCB not as restricted as was my PMM (ended 1975)
agnes mwakingwe-omari
02:23:55
ideally jinsi tunavyojua kirusi tunajua Zaidi jinsi ya kupambana nacho ili baadaye watu watakapoumwa tutakuwa tunajua jinsi ya kuwatibu ili vifo viwe vichache
Asia Rubeba
02:25:13
shukran sana@Agnes-naendelea kuwafuatilia.
Johnson Allen
02:25:32
sure, tukipata taarifa zaidi tutajua namna ya kusaidia wale ambao watapata maambukizi huko mbeleni
regina fredy
02:26:34
Lwidiko hizo kits hata huku bongo zipo?
agnes mwakingwe-omari
02:26:42
mpaka sasa hivi jinsi ya kuwatibu watu hospitalini na asilimia ya wanayokufa inapungua taratibu kwa sababu kila siku tunajifunza Zaidi. kwahiyo kujikinga ni kitu muhimu sana kwa sasa.
Christian Bwaya
02:26:57
Nimejifunza mengi. Mjadala huu unasaidia kuelewa upotoshaji mkubwa unaoendelea (kwa makusudi au kutokujua). Asanteni sana watoa mada wote.
Maryam Amour
02:26:59
hizo kits zipo bongo
Vanessa Chilunda
02:27:04
@Regina.. kits zipo Tanzania
Prof. Primus Mtenga
02:27:25
The boot camp idea is super. I wish pia kungekuwa na boot camp za "utundu". Mahala ambapo watoto watapata nafasi ya kubunia na kujenga vitu na kubomoa vitu.
Vanessa Chilunda
02:27:34
zimetengenezwa na zinauzwa Dar. Tufanya delivery.
lwidiko Mhamilawa
02:27:54
https://projektinspire.co.tz/
Agnetta Kamugisha
02:27:58
Da Zawadi audio
lwidiko Mhamilawa
02:28:03
Kits Biko cl
regina fredy
02:28:13
i would like to have one huku Songwe
Ronald Ndesanjo
02:28:47
Lwidiko asante kwa maelezo fasaha. Tafadhali tupatie maelezo zaidi kuhusu (upatikanaji wa) hizo kits na program nzima. Asante.
lwidiko Mhamilawa
02:28:51
https://projektinspire.co.tz/product-kits/. This is the link to get the kits
lwidiko Mhamilawa
02:29:04
Unaweza order online
Dan Nkurlu
02:29:21
Ahsante Bwana Lwidiko
lwidiko Mhamilawa
02:29:39
Ama ukapiga simulacra 0653400006 kwa kupata au 0712865206
regina fredy
02:31:52
Jamani hizo PPE mtukumbuke na sisi madaktari tuliopo pembezeno kama huku Songwe
Florian Mutasingwa
02:32:28
Tutawaleteeni usijali Regina Fredy
Johnson Allen
02:33:15
tutashukuru kwa kweli
Asia Rubeba
02:34:31
hongera sana@ Lwidiko. Wanafunzi wengi wamepoteza ile spirit ya kupenda sayansi. Njia hiyo mnayotumia itasaidia kuinua vipaji. wazo la Prof pia bado linaweza kuangaliwa ili kuibua vipaji zaid kwa watoto hao tunaodhani ni watundu/watukutu.
Dunstan Bishanga
02:34:31
Wazungumzaji wote wametoa elimu kubwa sana ya kisayansi na kijamii pia. Ahsante sana kwa mchango wenu katika mapambano haya ya Covid-19
Amos Kiyumbi
02:34:51
we have similar idea as that of Dr. mhamilawa. i personal know his father as my physics teach teaching me electronics UDSM.
Joe K
02:35:07
Asante sana contributors wote. Very informative and inapiring
Amos Kiyumbi
02:35:29
one can vist our instagram @ youth in physics.
Maryam Amour
02:35:41
Asanteni kwa kuchangia PPE
Dr. Primus Saidia
02:35:51
hongereni kwa kazi nzuri.
Maryam Amour
02:35:58
Asante kwa mada za kisayansi, tumenifunza
baraka daudi
02:36:13
wachangangiaji mada, hongereeni sana kwa elimu mliyotupatia leo...
Oliva Kavishe
02:36:20
https://www.gofundme.com/f/dhibiti-mlipuko-covid19-tanzania
Zawadi Sakapalla-Ukondwa
02:36:31
Agnetta Kamugisha, mkazi wa North Carolina, Ph. 919-724-2291; Nabila Ghassany, mkazi wa Georgia, Ph 404-988-2178; Nassaro Basalama, mkazi wa North Carolina, Ph 919-519-1624, na Zawadi Sakapalla-Ukondwa, mkazi wa Maryland,Ph 301-379-2342. Tina Lasway 919-309-6994
Dr. Primus Saidia
02:36:46
hizo PPE msisahau pia private sector inahudumia wagonjwa wengi wa COVID19
Prof. Primus Mtenga
02:36:47
My thanks to Frank and all Panelst for good program. Kazi nzuri sana. Elimu safi mmno mmno.
regina fredy
02:36:51
Ahsanten sana Dada Zawadi na timu yako...
Lucy Abraham
02:37:07
Tunashukuru sana.
Mariam Hamad
02:37:30
Asanteni
regina fredy
02:37:34
Kiukweli sisi tangu janga hili lianze huku niliko,hizo PPE tunajinunulia
lwidiko Mhamilawa
02:37:37
Sawa saga Asia Rubber, ahsante sana.. tuwasiliane zaidi kwa kupata mashauri
Kanaeli Uriyo
02:37:42
Asanteni sana Frank na timu yako kwa mada hizi pamoja na michango kwa ajili ya PPE
mlaluko rajabu
02:38:08
Shukrani kwa panelists pia kwa Dr. Minja kwa kuOrganize ili jambo. Mbarikiwe mno wataalamu
Johnson Allen
02:38:42
meeting id itakuwa hii hii au?!
Grace Qorro
02:38:50
In response to your question Mkunde, we have standards of patient care in place and also guidelines. We should encourage HCWs to adhere to these guidelines, however; they should also receive health systems support like PPE and assurance of good care if infected.
lwidiko Mhamilawa
02:38:52
https://www.instagram.com/projekt_inspire_tz/
Oliva Kavishe
02:39:00
https://us02web.zoom.us/meeting/register/tZ0kce6orzoqGNwLRw0bcWEgW-UI2jNXRago/success?user_id=79qVuGGCSRCdL8IYo9v_lA&timezone_id=America%2FNew_York
David Lyandala
02:39:01
Meeting Id please
Clifford Tarimo
02:39:12
Thanks to this amazing team.
Oliva Kavishe
02:39:16
meeting ya kesho 👆🏾
Asia Rubeba
02:39:18
diaspora hongreni kwa kuweza kuorganize hilo changizo. Pia kwa elimu mnazozidi kutupatia. moderator/Host hongera zaidi.
Mariam Hamad
02:39:46
yani mpk imebd tufturu na shule
Ipyana Lwinga
02:39:48
Hongereni sana wachangiaji wote, nadhani elimu ya leo imeweza kutufungua uelewa wetu kuhusu COVID-19...itakuwa ni vyema Zaidi tukaendelea kuelimishwa Zaidi ili tuweze kucontrol hili janga. Big up
mlaluko rajabu
02:40:13
Lwidiko, Maeda, Quorro mko vizuri
Asia Rubeba
02:40:48
Zawadi na wanawake wengine nimewapenda zaidi na hivyo tuzidi kuwahamasisha watoto wakike wasijisahau sana. Inawezekana kabisa tukiamua kama jamii.
Boniphace Gregory
02:42:28
Mada imekuwa nzuri Sana pongezi kwa waandaaji na wachangiaji wote
Prof. Primus Mtenga
02:44:28
Kikombe cha Malagacy he, hanna mitishamba inaweza kudhibiti hiki kiruzi?
Amos Kiyumbi
02:44:48
mhamilawa we can meet please https://www.instagram.com/p/B_XV6oLFHgz/?igshid=18oygg21j8uah
Clifford Tarimo
02:46:19
We would also like to know about possible contribution of traditional medicine in covid-19 treatment. (Eg. Covidor)
Stephen Mkoloma
02:46:42
asanteni kwa shule nono
lwidiko Mhamilawa
02:48:08
Sawa Sawa Amos, Nipigie kwa WhatsApp number 0712865206
Asia Rubeba
02:48:08
NIMRCAF@Tarimo
Daniel Mgalla
02:48:14
ni kweli dalili za covid19 kwa tz ni tofauti na raia wengine huko dunian?
Stephen Mkoloma
02:48:26
Nilikuwa na obsevation kwa dada Zawadi unfortunately nikatag privately kwa one of the members.
Clifford Tarimo
02:49:07
Sure... Nimrcaf @Asia
Daniel Mgalla
02:49:18
it is said watu wengi wanaopata corona tz dalili zinashowup tofauti?
Asia Rubeba
02:49:25
anatutisha@maeda
Stephen Mkoloma
02:52:22
Nilikuwa naomba hiyo michango inayochangwa itazame kada zote zilizofront. kuna wataalam maeneo kama ya lab, radiographery, comm health nk ambao wanahusika direct na wagonjwa kwenye diagnostic values. Wengi hawana PPE zifaazo kujilinda na Corona Virus. wanakutana sana na asymptomatic cases nyingi sana. the risk is so high tusitazame doctor na nurse tu
Zawadi Sakapalla-Ukondwa
02:52:57
@Stephen Mkolome, habari
Daniel Maeda
02:53:45
https://www.vijana.fm/2020/05/15/maswali-matano-na-dr-daniel-maeda/
Lunda Asmani
02:53:54
if anyone has unanswered questions. please post here. asanteni sana.
Zawadi Sakapalla-Ukondwa
02:55:29
@Stephen MkolomeAsante kwa ushauri.
Prof. Primus Mtenga
03:00:55
Wataalamu kuweni watundu. Tunaweza kutengeneza hivyo vifaa na chemicals hapo TZ. Let us go to reverse engineering.
Mkunde Chachage
03:00:57
Tunazo hizo “state of art” facilities kama ya Ifakara health institute-Bagamoyo, NIMR-Mbeya n.k
Asante Malima
03:02:32
Prof. Utundu upo na vinawezekana, hasa hasa kwa sasa ambapo watu wanaopona inaongezeka.
Misago Seth
03:03:17
Nafikiri ipo sababu ya kuwa na maabara au kituo maalum kwa ajili ya kuendelea medical biotechnology itakayojikita katika kuibua mipango maalum ya R&D katika medicines, diagnostics and other medical devices
Asia Rubeba
03:07:56
hahahaha kumbe wanawake tuko vizuri hapo
Daniel Maeda
03:08:40
😂😂😂
Doris Avati
03:08:45
afya kwa wanaume ni duni
Doris Avati
03:09:04
acheni vitambi
Eric van Praag
03:09:08
social behavior of males is very different than that of females and therefor risks for infection, so tha must be taken into consideration
regina fredy
03:09:49
Sure...hata hapa nilipo kliniki ya kisukari attendee wngi ni wanaume kuliko wanawake
Dr Faith Mmanywa Griffin
03:10:33
how do we help increase capacity with testing?
Daniel Maeda
03:10:33
https://ipscell.com/seli-shina-ni-nini/
Daniel Maeda
03:11:18
https://www.vijana.fm/2012/10/09/maswali-matano-kuhusu-tuzo-ya-nobel-ya-fiziolojia-na-tiba/
Kaunara Azizi
03:12:01
Why is the #COVID-19 death rate is significant higher among men than women?Might be due to underline biological/ social factors like:-life stye factors (hand washing behaviors, smoking behaviors)-higher incidence of chronic illness (e.g. CVD) in men-hormonal differences
David Lyandala
03:12:18
Wengine wamekua machinga wa madawamedical representative wa makampuni ya kihindi
Stephen Mkoloma
03:12:59
kwenye issue ya kwa nini wanaume, je nutritional endurance inaweza ikawa sababu? Najua mwanamke anasemwa kuwa na nutritional immunity kubwa kuliko sisi
David Lyandala
03:14:13
Inawezekanaa kuwa receptor za mwanamme zipo respond vizuri kwenye virus
mlaluko rajabu
03:15:26
factor kubwa inaweza kuwa exposure ya wanaume kiutafutaji pia
David Lyandala
03:17:28
Niliuliza kuhusu Mahusiano ya SARS-COV2 na Blood clotting (Thrombosis)na Kitu gani kinafasababisha blood clotting kwa wagonjwa wa ICU
Dunstan Bishanga
03:20:19
TB Diagnostics zipo ngazi ya mkoa na wilaya na majibu yanapatikana from diagnostic centers. Infact kwa sasa mgonjwa anaweza pelekewa majibu to the nearby service delivery point. The plan ni kuwa na GeneXpert machines at each district level, though the coverage is not there yet.
Asia Rubeba
03:20:51
Good move!@Bishanga
regina fredy
03:21:14
Dr Qorro ahsante kwa majibu yako
Dunstan Bishanga
03:21:50
Centralized diagnostic services ni kwa multi-drug resistant TB (MDR-TB). Hizo zinafanyika kwenye hospital maalum kama Kibong'oto, Bugando, and other regional referral hospitals
Dunstan Bishanga
03:22:05
That is for culture and sensitivity
agnes mwakingwe-omari
03:23:33
wagonjwa wa ICU huwa wana risk kubwa ya blood clotting in general kwa hiyo huwa wanatibiwa na dawa za kuzuia blood clotting. Kwa nini SARS-COV2 inasababisha blood clotting theories - virus inaharibu sell kwenye mishipa ya damu, high inflammatory reaction pia inaweza kuchangia. Lakini jinsi siku zitakavyoongezeka tutajua zaidi
Dunstan Bishanga
03:23:38
So Culture and sensitivity testing inafanyika kwa cases ambazo ni Drug resistant, treatment failure or relapse of TB disease
Dunstan Bishanga
03:24:22
I meant to say Zonal referral hospitals hapo juu
Wilson Kaseha
03:24:59
Suuala la upimaji kwa PCR, wapo wataalamu wa Maabara za afya tiba wakutosha nchini, wenye elimu viwango kuanzia ngazi ya cheti mpaka uzamivu wamefundishwa na wanaelimu ya Molekular biology. Hata hivyo wanahiaji mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya covid19 tests. Vipimo vya TB kwa kitumia PCR hufanywa na majibu hutolewa hulohuko ngazi ya Wilaya na wataalamu hao wa Maabara.
DEOGRATIUS MALLY
03:25:27
umesema vyema Dr.Minja. kwa sasa niko Uganda, Makerere kimasomo. nimeona jinsi walivyohimarisha mifumo yao ya Afya..
Clifford Tarimo
03:27:34
Coefficient of variation.
Stephen Mkoloma
03:29:53
Sehemu nyingi electrical engineers ndio wanafanya kazi za biomedical engineers so mara nyingi wanakuwa waharibu badala ya kufanya maintenance
Lisbeth Mhando
03:30:38
Thank you very much for the discussion. Always learning something new on this platform
Asia Rubeba
03:31:58
kwa kweli mnajitahidi sn isipokuwa bado kuna changamoto za wakati mwingine kupata majibu ambyo sio sahihi. Sasa sijui kama ni calibration ya mashine au ni utaalam wa mtu mwenyewe. hapo nashauri pamoja na maintanance za vifaa, capacity building za mara kwa mara kwa wataalam wetu hawa inabidi ziwepo. Wengine huenda wanasahau kuupdate knowledge & skills zao.
Asia Rubeba
03:33:07
waache wakuulize tu mwisho wa siku watakuwa na ingusitive mind and you will love them!
Blandina Kilama
03:33:59
Asanteni sana wataalamu nimejifunza mengi.
Asia Rubeba
03:34:25
Para ya mwisho ni kuhusu namna ya kuwasaidia watoto.
Misago Seth
03:34:42
Ongoing capacity building ni muhimu sana, so is maintenance of equipment. in the meantime, tusaidiane kupeleka taarifa sahihi kuhusiana na sababu kwa nini sampuli ya papai au fenesi inaweza kuwa positive. kila mtu amepata Elimu ya kutosha hapa
Asha nyanganyi
03:35:57
Yes, Misago. Sharing information is very important
Asia Rubeba
03:36:45
Sure@ Misago
Scholastica Chibehe
03:37:13
SARS-COV2 inasababisha blood clots ambazo huathili major organs mwilini. kwanini tunasubiri mpaka mgonjwa afike ICU ndo tunaanza kuhangaika na matibabu ya blood clots ambayo ni magumu sana. hivi hakuna cha kufanya kwa mgonjwa ambaye ni positive COVID-19 kuzuia asipate hizi clots ?
Eneza Mjema
03:37:25
Kutokana na mabadiliko ya genome ya SARS-Cov2 sequencing ni muhimu sana. Itasaidia kujua mwenendo wa ugonjwa na kurahisisha baadae kwenye administration ya chanjo.
Paul Rupia
03:38:55
This panel was very technical.... asanteni sana wataalamu.
Sia Joseph
03:39:50
pamoja inawezekani nadhani cha muhimu ni kuelimisha, kuwasiliana na uwamzi tu . pesa zipo. asanteni
Asia Rubeba
03:40:06
moderator/host kajitahidi sana kuibua maswali ambayo yanatoa mwanga wa sisi kuweza kufuatilia mada kwa uzuri.
Neema Machege
03:40:49
very powerful , much appreciated
Asia Rubeba
03:41:07
wataalam nao kila mmoja ni mbobezi kwa sehemu yake. Keep it up!
Kurwa Nyigu
03:41:17
asanteni wataalam wetu kwa mchango wenu. Speical shout out kwa my mdogo Dr. Grace Qorro. Nice kuona wadogo wetu wameenda vizuri. Hongera kwa kazi nzuri unazofanya.
Misago Seth
03:43:29
One important take home message:COVID-19 has been an eye opener. Wataalam tutumie changamoto hi kama kifumbua macho. Tujiandae vema katika upande wa diagnostics and medical technology ili tusikamatwe tena pants down next time.
Misago Seth
03:44:52
Tunahitaji mchanganyiko wa disciplines. Mwisho wa siku, tutakuwa na timu zilizokamilika tukiwa na watu wa fani mbalimbali.
Asia Rubeba
03:45:20
Nakubaliana nawe Misago.
Stephen Mkoloma
03:48:36
word of the day Misago. It is so difficult, nearly to impossible to cast an unknown demon. Proper diagnosis is very vital in medicine and health
Daniel Maeda
03:49:28
good work Lwidiko
agnes mwakingwe-omari
03:50:23
blood clots - kila dawa ina madhara yake, kwa hiyo mara nyingi unajitahidi kujua extent of the problem, ni nini kinasababisha ili uweze kutibu wanaohitaji tu na siyo kila mtu. again bado tunajifunza kuhusu huu ugonjwa na jinsi ya kuutibu so nadhani jinsi ya kutibu itaendelea kuevolve.
Asia Rubeba
03:50:41
Lwidiko unachukua watoto wangapi ktk programme yako hiyo? Natamani ifike nchi nzima.
Justine Maganira
03:50:48
Great Lwidiko. ProjeKt Inspire is an exclent activity.
Oliva Kavishe
03:50:56
can the diaspora be the answer? and the funders?
Oliva Kavishe
03:51:09
we are the messiahs we’ve been waiting for lol
Aviti Mushi
03:51:19
Excellent discussions.....!!!
Misago Seth
03:58:07
Sayansi ya Maeda,,😃
Asia Rubeba
03:58:31
Changamoto za dawa zenu hadi mdhibitishe si chini ya miezi 6 wakati hizi za kiafrika ni za muda mfupi. mtu anachuma kashagwala within a minute kapona. wasomi nao ni sehemu ya jamii.
Daniel Maeda
03:58:33
😅😅😅😅
Daniel Maeda
03:59:13
kapona? are you sure? no wajua kapona nini?
Aviti Mushi
03:59:50
Dawa ina ngazi za kupitia ili kuthibitishwa kama inatibu ama la.
Aviti Mushi
04:00:24
Wishing it kutibu is different from it kuwa effective.
Vianney Bruno
04:00:28
As always ... another great learning today! Bravo doctors !
Asia Rubeba
04:01:10
Unajua kama mtu anaona kifua kimebana na akinywa hizo za asili anapona sasa tutamshawishi namna gani ili asitumie? Nadhani mass education hasa kwa local individuals bado inachangamoto zake.
Daniel Maeda
04:01:19
shukrani Aviti
Aviti Mushi
04:01:38
asante Maeda.
Asia Rubeba
04:01:54
Kudos! Maeda et, all.
Neema Machege
04:01:56
asanteni sana mbarikiwe 🙏
David Lyandala
04:02:07
Asanteni Sanaa panel listtumejifunza vingi
David Lyandala
04:02:14
mbarikiwe sanaaa
Asia Rubeba
04:02:19
hahahahahaha
Clifford Tarimo
04:02:20
Much thanks to the team.
Patrick Donge
04:02:22
Mimi nina wazo moja kwamba dawa kama imewasaidia wengine hii inabaki kuwa dawa tu haijalishi watu wengine wameithibitisha au la. maana hata dawa zinazosemekana zimethibitishwa pia huwa na side effects
mlaluko rajabu
04:02:28
thanks